Thursday, June 19, 2014

NEWJOINT:Navy Kenzo-Aiyola

Cheki na ngoma mpya iliyofanywa na Navy Kenzo na beat kufanywa na Nah Real him self

Friday, May 16, 2014

NEW JOINT:Lil Wayne-D'usse


Rapper kutoka YMCMB lil wayne aachia ngoma mpya "D'usse" fanya kuisikiliza na ku-download hapa=>http://www.hulkshare.com/fq6e0kyedq80

Dengue yaingia Zanzibar, watatu wagundulika

Watu watatu wamelazwa katika Hospitali Kuuu ya Mnazimmoja mjini Zanzibar baada ya kushukiwa kuwa na maradhi ya homa ya Dengue inayosababishwa na mbu aina ya “Aedes”Ugonjwa huo tayari umeingia jijini Dar es Salaam na kuathiri watu zaidi ya 400 huku wengine wakiripotiwa

Mastaa watoa yao ya moyoni ni pamoja na mpenzi wake Diamond… Wema Sepetu baada ya,kuingia TUZO ZA BET Diamond

Screen Shot 2014-05-15 at 3.54.34 AMIlikua stori kubwa pale Diamond Platnumz alipotangazwa kushiriki kwenye tuzo za MTV Base (Mama Awards) kikiwa ni kituo kingine kikubwa cha burudani Afrika.Diamond Platnumz ameingia kwenye stori nyingine kubwa ya dunia baada ya kuchaguliwa kushiriki kwenye tuzo za Television kubwa ya Marekani ya BET ambapo yupo kwenye kipengele cha wanaogombea

Sunday, May 11, 2014

EXCLUSIVE:DIAMOND PLUTNUMZ AJA NA 'KITORONDO'

Baada ya kukwapua tuzo saba katika tuzo za KTML 2014,Diamond aamua kuwaonesha mashabiki wake kwamba hakubaatisha na bado uwezo anao....

Sunday, May 4, 2014

Diamond akomba Saba KTMA,FID Q,Weusi Wasumbua Hip Hop.....Tazama picha za KTMA 2014 Hapa.

Diamond Platnumz amethibitisha kuwa ndiye msanii namba moja kwa sasa nchini Tanzania baada ya usiku wa Jumamosi kunyakua vipengele vyote zote saba alivyokuwa ametajwa kwenye tuzo za muziki za Kilimanjaro, KTMA Diamond alikuwa ameambatana na Mchumba wake Wema Sepetu wengine walio chukua tunzo zaid ya Moja ni Fid Q,Weusi

Wednesday, April 30, 2014

NEW JOINT:Steve RnB-She Dance

Mkali wa miondoko ya RNB Steve....ameachia ngoma mpya fanya kuisikiliza na kudownload hapa